Monday, May 11, 2015

Wimbo wa Vanessa Mdee ‘No Body But Me’ uko namba 1 kwenye Top Ten ya Radio ya Nigeria

 [adsenseyu1]





Baada ya Kichupa cha wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘No Body But Me’ aliomshirikisha rapper wa Afrika Kusini ‘K.O’ kuingia kwenye chati za vituo vya runinga vya kimataifa kama MTV Base na Trace, audio yake pia iko kwenye Top Ten ya kituo cha radio cha Lagos, Nigeria.

vee3

Wiki hii wimbo huo umeshika nafasi ya kwanza kwenye African Top 10 ya The Beat 99.9 Fm ya Lagos.

The beat

Nafasi ya pili kwenye chati hiyo imekamatwa na Maurice Kirya wa Uganda na wimbo wake ‘Never Been Loved Before”.

Pia kwenye chati ya Africa 10 ya Trace Urban, Video ya Vanessa na K.O imekamata nafasi ya 5 wiki hii.

trace africa ten



0 comments:

Post a Comment