Thursday, May 21, 2015

Utaipenda Interview ya BBC Africa (English) na Diamond (Audio)

Diamond Platnumz aliitumia ziara ya Uingereza hivi karibuni kufanya interview na idhaa mbalimbali za shirika la utangazaji la Uingereza, BBC. Hii ni interview na mtangazaji wa BBC Africa, Jenny Horrocks. Isikilize hapo chini.

Wednesday, May 20, 2015

Snoop Dogg Reveals More About The Time He Smoked Weed At White House





Tuesday, May 19, 2015

Nicki Minaj Appears To Diss Tyga And Kylie Jenner In Feeling Myself Video

Nicki Minaj Disses Tyga Feeling MyselfNicki Minaj and Beyonce dropped their much anticipated ‘Feeling Myself’ video today on TIDAL. It’s supposed to be on Jay Z’s site exclusively, so who knows how long this YouTube video will be up.  But it works for now:

Monday, May 18, 2015

Beautiful Zari the Bossy Lady






Shilole: Nimesikitishwa na mtu aliyenipiga picha na kuziweka mtandaoni, sikudhamiria hicho kitu kitokee


Baada ya picha chafu za Shilole kusambaa mtandaoni hadi kupelekea BASATA kumuandikia barua ya onyo, muimbaji huyo wa ‘Nakomaa na Jiji’ amevunja ukimya.
Shishi3
Shilole amesema kuwa hata yeye hakupenda kile kilichotokea jukwaani wakati akitumbuiza Ubelgiji hivi karibuni, kwa sababu ilikuwa bahati mbaya na hakudhamiria kukaa uchi kama wengi wanavyosema.
Shishi ambaye ni mama wa watoto wawili amesema kuwa nguo mpya aliyoivaa siku hiyo ndio ilimponza kwasababu hakuwa ameifanyia majaribio ya kutumbuiza akiwa ameivaa.
“Kiukweli kwasababu hili jambo limetokea inatakiwa nguo ninapoinunua niwe naifanyia training kwanza kabla ya kwenda jukwaani, kwahiyo kwasababu ile nguo ilikuwa mpya kwangu na sikuweza kuijua vizuri […] yaani hii nguo nimeikuta huku huku, nguo imekuja kunitokea bahati mbaya wakati niko kwenye performance, ilitatuka wakati niko kwenye motion .” Alisema Shishi kupitia 255 ya Clouds Fm.
Ameongeza kuwa amesikitishwa na mtu aliyempiga picha hizo na kuamua kuzisambaza mtandaoni bila kujua kuwa itamuumiza yeye kama mwanamke.
“Nasisitiza tena sikudhamiria na wala sikupenda hiyo kitu itokee, ila nasikitika kwamba kama mimi mwanamke yule mtu aliyenipiga picha na kudhamiria kuziweka kwenye mitandao alikuwa na maana gani, hakufikiria mimi nitaunmia kiasi gani au mashabiki wangu wataumia kiasi gani? Ni mtu mbaya mwenye roho mbaya sijui nimuiteje huyo mtu aliyefanya hivyo, sio mtu mzuri.”
Kuhusu kama amepokea barua ya kuitwa kujieleza kutoka BASATA, Shishi amesema kuwa hajapokea barua hiyo kwasababu bado yuko Ubelgiji.

Chris Brown's daughter Royalty pictured for the first time as her mother takes baby to visit him on tour bus

Chris Brown's daughter Royalty pictured for the first time as her mother takes baby to visit him on tour bus



She's just nine months old, but Chris Brown's daughter Royalty got the VIP treatment as she visited her father on Monday.
With the controversial rapper performing in Houston for the night, he fitted in a private pre-show meeting with his infant and her mother and older sister.
Royalty was pictured for the first time being carried by one of Brown's assistants as the group boarded Brown's tour bus, after earlier being picked up from a nearby hotel.
Scroll down for video 
She's Royalty: Chris Brown's infant daughter is carried onto his tour bus by an assistant before the hip hop star performed a gig in Houston, Texas on Monday
She's Royalty: Chris Brown's infant daughter is carried onto his tour bus by an assistant before the hip hop star performed a gig in Houston, Texas on Monday
The big occasion saw the toddler dressed in yellow pants, a floral sweater and a mini pair of colourful Nike trainers. Tiny gold studs could be seen in her ears, while a gold bracelet hung on her wrist.
Her model mother Nia Amey, 31, showed her post-baby body in a blue and white floral dress as she carried a baby blanket and a bottle of milk inside.
With a sign in the bus' window clearly stating that no shoes were to be worn, the petite former nursing student had removed her sky high heels, replacing them with some unflattering pool sliders.
Nia's 13-year-old daughter, whose father filed for divorce after 11 years upon hearing of the pregnancy, helpfully carried a large bag packed with baby gear.
Family visit: Royalty's mother Nia Amey, left, and her 13-year-old half-sister accompanied her
Family visit: Royalty's mother Nia Amey, left, and her 13-year-old half-sister accompanied her
While Chris and Nia have been friends for years, both were apparently surprised to discover he had fathered her child.
Indeed when Nia celebrated her baby shower last year a man named Brazil, who was then thought to be the father, was among the guests. 
However a DNA test later established that Chris was the lucky man, and he is said to have embraced his new role.
What a cutie: The big occasion saw the toddler dressed in yellow pants, a floral sweater and a mini pair of colourful Nike trainers; tiny gold studs could be seen in her ears, while a gold bracelet hung on her wrist
What a cutie: The big occasion saw the toddler dressed in yellow pants, a floral sweater and a mini pair of colourful Nike trainers; tiny gold studs could be seen in her ears, while a gold bracelet hung on her wrist
He's the daddy! Chris Brown poses on the red carpet at an event last year
He's the daddy! Chris Brown poses on the red carpet at an event last year
Since learning he fathered a child, the Loyal singer 'calls Nia regularly and now says he wants to openly participate in raising the baby.'
Nia and Chris kept his parentage of the child secret at first, with the 25-year-old not even telling his long-term girlfriend Karrueche Tran.
Indeed she was blindsided by the news - responding to it by publicly dumping her on/off partner of five years with the words: 'One can only take so much.'
Model mother: Former nursing student Nia, with lighter hair, in a picture from her model profile
Model mother: Former nursing student Nia, with lighter hair, in a picture from her model profile
Meet the 'baby mama': Amey, who is said to be a longtime friend of Chris, is raising Brown's child in Texas
Meet the 'baby mama': Amey, who is said to be a longtime friend of Chris, is raising Brown's child in Texas
It can't have helped that Nia was a friend of Karrueche's, with the two once pictured partying with Chris.
After news broke of Royalty's parentage, Brown was said to have furiously accused Nia of leaking stories to the press.
But Nia's tour bus visit makes it appear that any animosity between the pair has been resolved.
Old pals: The Ayo singer was pictured in this Instagram photo, partying in Sin City in May 2013 with both Nia and Karrueche and a bunch of other bikini clad women
Old pals: The Ayo singer was pictured in this Instagram photo, partying in Sin City in May 2013 with both Nia and Karrueche and a bunch of other bikini clad women

Picha: Chris Brown atokea red carpet za Billboard Music Awards akiwa na mwanae Royalty

Chris Brown aliamua kwenda na mwanae Royalty kwenye tuzo za Billboard Music Awards zilizofanyika Jumapili hii.
bbma-2015-chris-brown
Staa huyo alizunguka na kupiga picha kwenye red carpet na mtoto huyo mwenye umri wa miezi 11 sasa.
rs_634x1024-150517182311-634.chris-brown-baby-royalty-Billboard-Awards.jl.051715
Baba yake Royalty alikuwa ametajwa kuwania vipengele vitatu kwenye tuzo hizo.

Sunday, May 17, 2015

Mapenzi Au Pesa: Wolper Atoboa Anachoshobokea

Hapa na Pale: Kufuatia kuibuka kwa mabishano juu ya nini kinamata kwenye mahusiano kati ya ufundi wa mapenzi au pesa, watu mablimbali wamekuwa wakifunguka mitazamo yao juu swala hili.Staa mrembo wa Bongo Movies, Jackline Wolper naye amefunguka kuwa yeye ni team pesa.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni Wolper aliandika kuwa japo anapenda ufundi kidogo lakini yeye anapenda pesa na kuelezakuwa yeye mwenyewe ni fundi.
“Me team chapaaaa ufundi nashobokea kwa mbaliiii siuzimii sana maana me mwenyewe fundi seremala chaaaaaa”-Wolper aliandika mala baada ya kuweka picha ya kanga iliyoandikwa maneno ‘Mapenzi Pesa, Ufundi Peleja Veta'.
Wewe je upo team gani? funguka

Staa Afumwa Akifanya Mapenzi Live Kwenye Choo Cha Club, Wenyewe Wadai Walizidiwa


Staa Mmoja Maarufu Jina Kapuni kwenye Tasnia ya Bongo Flava Amejikuta katika Aibu Kubwa Baada ya Kufumwa Akibinjuka na Msichana ambae jina halikuweza fahamika kwenye choo cha Club Moja Maarufu Hapa Dar, Walipoulizwa inadawa walijitetea kuwa wamezidiwa.
 Udaku Specially Tumetumiwa Picha bila Maelezo Mengi ..Jionee Mwenyewe Kwenye Picha  

Kim Kardashian Does Naked Photo Shoot, But Still Insists She’s Insecure About Her Body


She just can’t seem to keep her clothes on! Kim Kardashian did yet another naked photo shoot shown on May 10th's Keeping Up With the Kardashians episode, but revealed she’s still very insecure about her body despite being constantly nude.


The 34-year-old mother stripped down for the risqué photo shoot wearing just splattered paint to have original content on her website.


"I'm so insecure," she said. "Just about my weight -- I cannot leave the house without Spanx.”


Kim also spoke about her psoriasis and said the skin condition should not make her feel “uncomfortable.”

“To make myself feel better, I lay out all my insecurities before we start a shoot in the hope that no one will be focused on that,” she said.

However, Kim insisted that she’s self conscious about her figure though she seems to be constantly flaunting it.




Lulu: Nyumba Niliyomzawadia Mama Sikuhongwa, Nimejenga Mwenyewe


Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michel  ‘Lulu’amesema kuwa nyumba aliyomzawadia mama yake siyo ya kuhongwa bali amejenga mwenywe.
Lulu alieleza hayo kwenye mahojiano aliyoyafanya  na kipindi cha televisheni  cha The Sporah Show.
Je lulu aliwezaje kujenga nyumba hiyo ya kisasa?  Kwa kipato gani hasa anachokipata? Maswali haya yalilipelekea baadhi ya watu kudah labda alihongwa.
Lulu amelifungukia swala hilo kama ifuatavyo;
 “Kiukweli ile nyumba nimeanza kujenga nikiwa bado mdogo sana, ni nyumba ya chini ya kawaida lakini nilikuwa najenga kidogo kidogo, kwamba leo nikipata laki nampa mama leo kaongezee hiki…kwahiyo ni kwasababu mtu hajui atashangaa Lulu kapata wapi hela za vuuup, lakini ni kitu ambacho kimeenda kidogo kidogo imechukua hata miaka minne..kwahiyo mtu atashtuka kwasababu ameiskia leo sasa ndo hivyo mtu ataanza kusema kahongwa hajui background.” alisema Lulu.
Lulu alimzawadia mama yake nyumba  mwaka jana kwenye sherehe ya kuzaliwa ya mama yake kutimiza miaka 45 ya kuzaliwa.

DIAMOND!!! WHAT YOU DID IS NOT 'ACCEPTABLE'....SO NAIIVE

DIAMOND!!! WHAT YOU DID IS NOT 'ACCEPTABLE'....SO NAIIVE

Wema Sepetu aeleza kwanini hampendi tena Diamond na kwanini Zari hamtishi kwenye fashion

Wema Sepetu hampendi tena Diamond Platnumz na anasema kila anapoukumbua uhusiano wao, anakumbuka mambo mabaya zaidi kuliko mazuri.
wpid-wema-akiwa-pembeni-kumsupport-diamond1.jpg
“Hapana simpendi [Diamond], yalishaisha hayo, nilishampendega, niliwahi kumpenda sana, lakini hamna tena, yaani hata sishtuki,” Wema alikiambia kipindi kifupi cha Kabali cha EFM.
“Nikimkumbuka Diamond most of the things ambavyo ninavikumbuka sio vitu vizuri na ndio maana hata sasa hivi imekuwa hivyo. Vizuri vilikuwepo lakini mtu anaweza akafanya vizuri akaja kufanya kimoja tu kibaya na akaharibu vyote tisa,” aliongeza.
Katika hatua nyingine Wema alisema Zari the Bosslady hamtishi katika sekta ya fashion.
“[Zari] hanitishi kwasababu yeye ana taste yake, mimi nina taste yangu, yeye ni Zari mimi ni Wema,” amesema muigizaji huyo. “I got my own, I like to play along with anything and she got her own.”
Msikilize zaidi hapo chini.


G-Nako - Sichezi Mbali (Official Video)


Baada ya Joh Makini kutambulisha kichupa na single yake mpya ‘Nusu Nusu’ wiki chache zilizopita, mkali mwingine kutoka Weusi, G-Nako a.k.a G-Warawara amedondosha video na ngoma mpya inayoitwa ‘Sichezi Mbali’. Audio imefanyika Noizmaker na video imefanywa na Cyne Studios. 




CHEKI VIDEO NYINGINE HAPA CHINI



PICHA: Wolper, Mr Blue na Nyandu Tozi, Kunani?!!

PICHA: Wolper, Mr Blue na Nyandu Tozi, Kunani?!!

PICHA: Wolper, Mr Blue na Nyandu Tozi, Kunani?!!

Kupitia ukurasa wake matandaoni, Staa wa Bongo Movies,  Jackqueline Wolper ameshare picha hizi akiwa na mastaa wa Bongo Fleva, Mr Blue na Nyandu Tozi na kusema kuwa wapo kazini.
Wolper hakuweza kuweka wazi kama ni Movies au Music Video....
Yote kwa yote picha hizi zimewavutia wengi mtandaoni na kupata mafuliko ya LIKES na COMMENTS za kutosha.

Jionee picha hizo hapo juu.

Riyama Aonyesha Ujauzito Wake?!


Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally ambaye ni mama wa mtoto mmoja , hivi juzi kati aliwaacha njia panda mashabiki wake mtandaoni baada ya kuweka picha hiyo akionyesha ujauzito na mpenzi wake akiwa ana ubusu.
Riyama alibandika picha hiyo kuandika “………?” kitu ambacho kiliwafanya mashabiki kupoteana kabisa, wapo ambao wadai kuwa mwanadada huyo yupo lokesheni anatengeneza muvi na wenngine kudai kuwa hiyo sio muvi bali ni kweli staa huyo kwasasa ni mjamzito.
Kwa siku za hivi karibuni staa huyo amekuwa akitupia picha kadhaakwenye ukurasa wake  akiwa na jamaa huyo (alimuita  Baba Fatma kwenye moja ya posti zake) akimtambulisha kuwa ndio mwandani wake.
BongoMovies.com imejaribu kumtafuta Riyama ili atoboe ukweli juu ya jambo hili bila mafanikio.
Kama ni kweli, tunakupongeza na kukutakia kheri kwani ni jambo jema.

Friday, May 15, 2015

I'm Now Dating GK But I Would Love To Have a 2nd Child With Chris Brown: Diva Loveness Malinzi

Hot Radio presenter from Tanzania, Diva Loveness Malinzi wants to have a 2nd child with American superstar Chris Brown. Diva believes her child will be so cute if the father is Chris Brown. Through instagram the controversial presenter who is currently dating Bongofleva artist King Crazy GK shared video of Chris Brown's daughter and she had the below to write.....
What do you think considering Diva is currently in a relationship with GK.....?

Lulu Atamani Kuimba Injili

Lulu Atamani Kuimba Injili

Lulu Atamani Kuimba Injili
     
    Staa wa bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema anatamani sana siku moja  kuimba muziki wa injili kwa vile anacho kipaji cha uimbaji.
    Staa huyo aliyasema hayo wakati akihojiwa  kwenye kipindi cha  televisheni cha The Sporah Show wiki hii.
    “Napenda kuimba...nadhani naweza kuimba, napenda kama siku ikitokea nimekuwa muimbaji  niimbe gospel, napenda sana gospel" alisema Lulu.
    Pia Lulu alisistiza kuwa yeye ni mtu mwenye hofu ya Mungu.
    “I’m  God fearing  yaani namuogopa sana na namuheshimu sana Mungu sio kumuogopa peke yake. Kwahiyo pamoja na yote ninayoyafanya  imani yangu ipo palepale hata mungu anajua.
    Mnanijua kwa nje , huo ndio upande mnaoujua, kuna upande wangu wa ndani na hauwezi kuujua lazimu muwe watu wa ndani sio kila mmoja anaweza kuujua”-Lulu alisisitiza.

    Uwoya: Siogopi Maneno, Ila Mwacheni Mwanangu


    Uwoya: Siogopi Maneno, Ila Mwacheni Mwanangu
      Kufuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwashambulia mastaa kwenye kurasa zao mitandaoni kushamili, Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ameibuka na kuweka angalizo hili kwa followers wake.
      Mamboz! Nataka niulize swali hivi kunamtu nilimlazimisha kuni follow au ni kwa mapenz tuuu? sasa kwanini mtu anataka kuchukua jukumu la mzazi wangu kujifanya anajua sana maisha yangu wakati toka nizaliwe hajawahi kuninunulia ata pipiii!!!
      Sasa ni hivi kusemwa mimi siogopi na matus pia siogopi kabisa coz nimeanza kusemwa toka nipo tumboniii!!! Ila naomba sanaaa mwanangu awe pembeni hausiki ata kidogo tena naomba sanaaa fanyeni yote lakin mwanangu chondechondeee!!!
      Wewe unaesema na nyota ya mchanga ni kweli ujakosea kwasababu mchanga unadhamani kubwa sana ndomana ukizikwa lazima uwekewe mchanga!
      Sasa ambaye anaona amekuja huku ili anitukanie mwanangu naomba atoke haraka staki kuwa nawatu wengi wanafiki nibora kuwa na wachache wenye mapenzi ya kweli na ukikosea wanakwambia kuliko kuwa na wengi kazi yao umbea na majunguuu!!!
      STAKI kama unajijua ni mmoja wao fanya usepeee!!!!!
      Nadhani ameeleweka, tubadilike jamani

      Thursday, May 14, 2015

      DOWNLOAD NEW MUSIC | NEY WA MITEGO FT DIAMOND PLATNUMZ



      CLICK BELOW TO GET THE SONG

      Nay wa Mitego & Diamond Platnumz - Mapenzi au Pesa

      BASATA Yalaani Tabia Chafu za Shilole

      BASATA Yalaani Tabia Chafu na Isiyo na Maadili Iliyooneshwa na Msanii Shilole Kwenye Onesho Lake Nchini Ubeligiji


      Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini limeona picha chafu na zisizo na maadili za Msanii Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole alipokuwa akifanya onesho lake nchini Ubeligiji hivi karibuni.

      Katika picha hizo ambazo zimelaaniwa na watanzania wengi nchini kupitia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii, Shilole anaonekana akiwa Jukwaani huku viungo vyake vya sehemu za siri vikiwa hadharani na zaidi akionesha tabia ambazo kwa kiasi kikubwa zimefedhehesha na kuidhalilisha sekta ya Sanaa na Taifa kwa ujumla.

      Aidha, BASATA limepokea malalamiko kwa njia ya simu na mawasiliano ya internet kutoka kwa watanzania waishio ughaibuni wakilaani tukio la Msanii huyo. Katika mawasiliano yao wameeleza kwamba wamefedheheshwa na kudhalilika na tabia hiyo chafu iliyooneshwa na msanii huyu.

      Ikumbukwe kwamba, Shilole ni msanii aliyesajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa, hivyo anapokwenda nje ya nchi kabla hajapata visa anapewa barua ya utambulisho kama msanii wa Tanzania, hivyo anapokuwa nje ya nchi anatambuliwa kama msanii Mtanzania, anapofanya kinyume na misingi ya kazi ya Sanaa, anajifedhehesha yeye mwenyewe, kazi ya Sanaa na nchi yetu pia.

      Aidha, ikumbukwe kwamba BASATA limeshapata kumwita na kumuonya msanii huyu kutokana na tabia yake ya kutokujiheshimu pale awapo jukwaani na yeye aliahidi kubadilika na kuachana na tabia hiyo chafu. Kwa hiyo kuendelea kwake kufanya matukio hayo na kwa sasa katika ardhi ya nchi nyingine ni uthibitisho kwamba hajabadilika na kwa maana hiyo ameendelea kuidhalilisha Sanaa na wasanii wa kitanzania wenye kujitambua na kuiheshimu Sanaa kama kazi nyingine.

      BASATA linapenda kueleza kwamba;

      Litamuita kwa mara nyingine tena kumtaka ajieleze kwa nini alifanya onesho hilo la kujidhalilisha na kudhalilisha hadhi ya mwanamke, msanii na Sanaa kwa ujumla

      Kama maelezo yake hayataridhisha hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake maana tayari ameshadhihirisha kwamba akifanyacho si Sanaa na hakina uhusiano na kazi ya Sanaa ambayo ina heshima yake na inahitaji ubunifu, weledi na kujitambua

      BASATA linawakumbusha wasanii wote nchini kuwa Sanaa ni kazi kama kazi zingine lakini siku za hivi karibuni wasanii wengi wamekuwa wakikiuka suala zima la maadili kwa kutengeneza kazi chafu zisizofaa mbele ya jamii ya watanzania wanaoipenda na kuiheshimu kazi ya Sanaa yenye staha. Tuungane kwa pamoja kukemea kazi chafu zinazozalishwa na wasanii wasiojitambua kwani suala la maadili ni suala mtambuka na linaanzia katika ngazi ya familia.

      Aidha, BASATA linawataka Wasanii wote nchini kufuata sheria, kanuni na taratibu mara wanapopata mialiko ya kikazi kwenda nje ya nchi. Linawakumbusha kwamba haiwezekani msanii kutumia picha chafu na mavazi dhalili na kuonyesha utupu katika kuvuta mashabiki.

      Sanaa ni kazi, tuipende na kuithamini

      Godfrey Mngereza

      KATIBU MTENDAJI

      TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

      Wednesday, May 13, 2015

      Wolper: Anayetoka na Nay wa Mitego Ameshajulikana



       Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amewaweka njia panda mashabiki wake kwa kauli yake kwamba msichana aliyekwenye uhusiano wa kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameshafahamika, tofauti na alivyokuwa akihisiwa yeye.



      “Watu hawana dogo, ukiwa karibu na mtu basi utaambiwa mpenzi wako, Nay hakuwahi kuwa mpenzi wangu kwa kuwa ni zaidi ya rafiki kwangu, ila watu wasio waelewa ndiyo walikuwa wakivumisha kwamba tuna uhusiano kwa maslahi yao, lakini sasa ukweli umejulikana kama mnavyoona na mnavyosikia Nay ni wa nani,” alieleza Jacqueline bia kumtaja anayetoka na mwana hip hop huyo.
      Wolper aliongeza kwamba taarifa hizo ziliposambaa alipata tabu ambapo alikuwa akitumia muda mwingi kujieleza kwa watu wake wa karibu kutokana na tuhuma hizo.

      Mashabiki Wachukizwa na Picha Hizi za Aunt Ezekiel

      Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel amepondwa na baadhi ya mashabiki wake kwa kupiga picha hizi akionyesha tumbo lake ukigingatia yeye ni mjamzito.Picha hizi zimekuwa zikisambaa kwa kwenye mitandao ya kijamii na wengi wameonyesha kuchukizwa na tabia iliyozuka ya mastaa wa Bongo kufanya hivi kwa kuwaiga mastaa wa nchi za ughaibuni.

      Wewe je, unamaoni gani juu ya hizi

      Shilole: Huyu Ndio Mwanaume wa Maisha Yangu

      Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole leo mtandaoni ameibuka na mtandaona na kuweka wazi kuwa mchumba wake Nuh Mziwanda ndio mwanaume wa maisha yake.


      “Huyu nilienae pembeni yangu ndo baba yangu rafiki yangu faraja yangu ya moyo na anajua umuhimu wangu kuliko mtu yeyote yupo na mimi bega kwa bega ninapokuwa na furaha nahata ninapokuwa na majonzi mimi naweza sema ndo mwanaume wa maisha yangu naomba Mungu asije badilika nitaumia sana.Nampenda sana huyu mtu nyinyi mnamuta Nuh mimi namuita Jackson”-Shilole ameeleza.

      Hili ni jambo jema,kila la kheri Shilole na Mziwanda kwenye maisha yanu ya mapenzi

      OGM! .....IRENE UWOYA RELEASES SEXY PHOTOS WHILE TAKING A SHOWER IN ABATHTUB




      Through instagram actress Irene Uwoya shared these hot pics of herself being in a bathtub with no piece of cloth to cover her hot chest............



      Diamond na Nay wa Mitego waja na matani ya ukweli namna walivyoporwawapenzi wao sababu ya pesa (Video

      Diamond Platnumz na Nay wa Mitego wameamua kuyageuza maumivu yao ya kutoswa na wapenzi wao kwenye ngoma yao ‘Mapenzi au Pesa’ inayotarajiwa kutoka leo.

      Wawili hao wamerekodi vipande vifupi vya video wanavyoviweka kwenye Instagram wakijibizana kuhusu mapenzi na pesa na wameamua kujilipua kweli.

      “Kha! Huyu nae anakuwaga Boya sometimes… we akili yako unaona kila kitu kinataka pesa tu.. hayo mambo ndio yalokufanya kile kidem chako cha Mwanza kikuchune halaf mwisho wa siku watu wamekipa viuno ipaswavyo, kiulainiiii wamejichkulia, Unabaki kutwa kuhaha na Mtotoemoji… Mwanamke anatakiwa Ufundi, Madoio, Manjonjo kwa bed emoji UMENISKIA @naytrueboy ???,” ameandika Diamond.

      Diamond amemaanisha mpenzi wa Nay wa Mitego, Siwema waliyezaa naye mtoto wa kiume aitwaye Curtis.

      11262798_836864009729992_873086903_n

      Nay wa Mitego naye amepost picha hiyo juu na kuandika:

      “Jamani eeh?!! Embu tuongee ukweli, hivi huyu ndugu yetu @diamondplatnumz Angekua na hali iyo apo kwny picha, Je!? Ange weza kua Uyo Mwanamke apo @zarithebosslady na unadhani uyu #Zari angemkubali? Kama c vijisenti na huu umaarufu alio nao?!”



      Tuesday, May 12, 2015

      Hakuna playback tena, hip hop naitumbuiza na live band – Fid


      Fareed Kubanda aka Fid Q ni mtu wa mambo tofauti. Ndio maana kuanzia mwaka huu na miaka mingine, hatotumbuiza kwa kutumia CD, bali atakuwa akichana mistari na live band.







      “Nimeona nimekuwa kwenye muziki kwa muda mrefu and takriban mwaka wa 15 kila siku tunapanda stejini pale tunaperform na kwa CD na nini, najiskia tu sasa hivi acha tu niwe mwanamuziki kabisa kwakuwa nafanya kila kitu na bendi,” Fid aliiambia 255 kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM jana

      “Uzuri wa kufanya show na bendi ni mmoja, si tu watu watakuwa wanaokuwa una talent peke yako, pia wanaweza kuwa wanaona mtu anapiga drums vizuri, mtu anapiga gitaa vizuri, piano. Kunakuwa na vionjo vingi mtu anakuwa anaenjoy.”

      Kutokana na mabadiliko hayo, Fid amesema hata bei ya kufanya show kwa sasa imebadilika kwakuwa atakuwa akihitajika kuwalipa watu wengi pia.



      Kajala Anaendelea Vizuri Baada ya Kupigwa Chupa Usoni

      Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja anaendelea vizuri baada yakupigwa chupa na kijana mmoja usiku ya kuamkia jana wakiwa kwenye show ya mwanamziki Mabeste aliyoiandaa ili kuchangisha pesa kwa ajili ajili ya matibabu ya Mkeo.

      Leo kupitia ukurasa wake mtandaoni, kajala ameweka picha hiyo hapo juu  na kuandika  “Maisha yanaendelea au sio......” kuonyesha kuwa yupo poa na anaendelea na masiha yake yakawida.

      Akilezea tukio hilo la kupigwa na chupa hapo jana alipofanya mahojiano na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM kajala alieleza

      “Mpaka tumemaliza show, sasa kwenye muda wa kuondoka nikamwambia Meneja wangu amuite msanii wetu mmoja anaitwa Tausi ili tuondoke, sasa wakati nataka kushuka kwenye gari natembea tu sijui chochote nikashangaa chupa imenipiga usoni, nikadondoka na kubiringita kwenye zile ngazi, kuna mkaka na mdada wakaniona wakanisaidia”

      Akaongeza kuwa;

      “Aliyenipiga na hiyo chupa ni Mwanaume, simjui na wala sijawahi kumuona hata mara moja…. amekamatwa yuko Osterbay Polisi, nilivyotoka Maisha Club nilipelekwa Hospitali Mwananyamala nimeshonwa usoni aliponiumiza, tukarudi Polisi nikaandika maelezo”.

      Pole sana Kajala

      Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini



      Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha  wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.

      Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine wanateleza kwa stage huyo paparazi aliopiga picha alifanikiwa kuzoom na kipata picha mbaya lakin katika hali ya kawaida na watu waliokua wakicheza nae hawakuweza kugundua lolote'na kiubinaadamu kama muhandishi wa habari hakupaswa kuchagua picha ambayo kaonekana vibaya mana naamini alipata picha nyingi nzuri tu za kupost ila aliamua tu kumchafua'So Mashabiki kumbukeni alikua yupo kazini hakupanga itokee ivyo na yote mradi atoe burudani nzuri kama mlivyomzoea''ambae hana upeo mdogo wa kufikiria ataongea shit ila kaa jiulize ingekutokea wewe ungesemaje? naomba mtusaidie kurepost hii habari tunawapenda sana

      Nuh Mziwanda

       

      Siri yafichuka Kumbe ni Ali Kiba Ndio Anaye Mnyima Usingizi Mrembo JOKATE

      Lile fumbo tuliokuwa tumefumbiwa na Mwanadada Mrembo na Mjasiria Mali Jokate la mtu kumyima usingizi sababu ya Penzi lake limefumbuliwa na imebainika kuwa mtu huyu ni Mwanamuziki Ali Kiba...

      Ila Wadakuz wa Ubuyu wanasema huenda watu hawa ni wapenzi wa siri wa muda mrefu kwani wamekuwa wakionekana pamoja mara kwa mara sehemu za Starehe na Jokate mara kwa mara huenda nyumbani kwa Ali Kiba bila Sababu yoyote....

      Baada ya Jipu kupasuka Jokate alihojiwa lakini akashindwa kusema chochote na kuishia kujichekesha tu ,,,,